Skip to main content

ALICHOKIANDIKA HAJI MANARA HIKI HAPA

Sports and Games

Pengine unaweza kudhani hili shangwe la GSM GSM GSM linalopigwa na Washabiki wetu limepangwa labda,
Laa hasha ndugu zangu,,He deserve it , tena 100% au zaidi!!

Wachezaji,Benchi la Ufundi,Management na Uongozi wote wa Yanga Chini ya President Hersi Said @caamil_88 pamoja na Wanachama na Washabiki wote, anaetubeba na kutufanya tutambe kisha tutembee kifua mbele ni Ghalib Said Mohammed,,Without him tungeendelea kupiga parade za kufukuzana tu.


https://www.highcpmgate.com/ng1dmadp6j?key=173c569203ab095058e7bfb0eaf7bcd4



Anasajili kwa pesa zake,,anaendesha shughuli nyingi za Club na bado kwa sehemu kubwa analipa mishahara yetu Staff na Wachezaji wa Team hii pendwa,
Ghalib ameitoa Club hii kuwa omba omba na kuifanya Club ya mfano na sio Tanzania tu bali Afrika nzima.

Haya mafanikio ya misimu hii mitatu pamoja na mchango wa kila mmoja klabuni tukiongozwa na akili kubwa ya Hersi na Kamati yake Tendaji,lakini Mmahara huyu wa kingoni anapaswa aimbwe zaidi ya hivi,ni vile tu hana mbwembe zetu na hapendi sifa na kujikweza,,lakini naapa kwa jina la Mungu Ghalib ametupa furaha sana Wananchi.



https://www.highcpmgate.com/ng1dmadp6j?key=173c569203ab095058e7bfb0eaf7bcd4

Hebu na kuanzia sasa tumvishe Jina la ziada na tuanze kumtambulisha kama Shekh ,Dr Ghalib Said Mohammed GSM, Waarabu wote wenye maana zao huanza kutambuliwa kwa jina la Shekh, hata Boss mkuu wa Manchester City huanza kuitwa jina la Sheikh kabla ya jina lake, akiitwa kwa moja maarufu kama Shekh Mansoor.

Hata Kabaila la PSG ya France nae hiuitwa kwa jina maarufu la Sheikh Tamim Al Thani.

Now tumtambulishe hivyo Ghalib Sadi Mohammed kama Sheikh Ghalib au Dr Ghalib Said.

@yangasc
@caamil_88
@arafat__ah
@gsmgroupofcompanies


 BY Maximilian Damian reporter


Follow us on



YouTube


Facebook




https://www.highcpmgate.com/ng1dmadp6j?key=173c569203ab095058e7bfb0eaf7bcd4

Comments

Popular posts from this blog

TETESI: Klabu ya Yanga SC imepanga kuachana na Nyota wake 6 ambao ni Mghana Agustine Okrah, kiungo Mahlatse Skudu Makudubela

YANGA SC NEWS UPDATE #TETESI: Klabu ya Yanga SC imepanga kuachana na Nyota wake 6 ambao ni Mghana Agustine Okrah, kiungo Mahlatse Skudu Makudubela kutoka Afrika Kusini, Mkongo Joyce Lomalisa, Zawadi Mauya, Metacha Mnata na Joseph Guede kutoka nchini Ivory Coast. Taarifa za ndani zinasema tayari wa Uongozi wa Yanga SC wamemaliza kuwaongezea mikataba nyota wote watakaosalia kikosini hapo kwa msimu 2024-25 lakini majina va wachezaji hao sio sehemu ya wachezaji waliongezewa mikataba kuelekea msimu ujao wa Mashindano ndani ya Yanga SC. Yupi alistahili kubaki ndani ya Yanga msimu ujao hapo??

Kiungo wa Yanga Sc, Stephanie Aziz Ki amekata mzizi wa fitina juu ya mustakabali wake kufuatia taharuki

Sports and Games Kiungo wa Yanga Sc, Stephanie Aziz Ki amekata mzizi wa fitina juu ya mustakabali wake kufuatia taharuki iliyozuka miongoni mwa wapenzi wa soka baada ya posti yake aliyochapisha kwenye mitandao ya kijamii kuzua sintofahamu. Awali kiungo huyo raia wa Burkina Faso alichapisha taarifa ya kuushukuru uongozi wa klabu hiyo, mashabiki pamoja za wachezaji wenzie kwa mafanikio waliyoyapata katika msimu uliomalizika hali iliyopelekea wengi kudhani anaaga Yanga. Hata hivyo Aziz Ki amejibu 'comment' ya mdau iliyosema “Ashiiii Azizi sasa kwenye post yako usianze na maneno 'thanks' unatufanye tuhofie kuwa unataka kuondoka” Akijibu 'comment' hiyo Ki ameandika “Nawashukuru kwa sababu ni jambo dogo sana ninaloweza kufanya kuwashukuru nyinyi ambao mnanisaidia kila siku, SIO KWAHERI NIKO HAPA MSIJALI” Posti iliyozua sintofahamu ilisomeka "Kila kitu kiliwezekana Shukrani kwenu wachezaji wenzangu, wafanyakazi, kamati ya rais na hasa nyinyi mashabiki, wapendwa wa...

BREAKING NEWS YANGA SC YAONDOLEWA ADHABU NA FIFA

Sports and Games Taarifa kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) @taifastars_ @caf_online @yangasc By Maximilian Damian reporter Follow us on Facebook