Skip to main content

CAF WATANGAZA MABADILIKO YA MICHUANO YA AFRICA

Sports and Games


Shirikisho la Mpira wa miguu Afrika (CAF) wapo kwenye mchakato wa kufanya mabadiliko kidogo ya mashindano Afrika kwa sasa mashindano yatakuwa African Football League (AFL) na CAF Champion League (CCL) huku shindano la CAF Confederation Cup (CCC) likifutwa. 

-Timu ambazo zitashiriki African Football League (AFL) zitakuwa timu 24 kwa kuangalia Club ranking na sio mabingwa kwenye nchi husika ila kwenye nchi husika zitaruhusiwa timu 2 tu kushiriki mashindano hata kwenye Club ranking zipo timu 4 ambazo zitaruhusiwa ni mbili tu. 

-Kwa hali ilivyo vilabu vya Simba na Yanga ndio vitashiriki African Football League (AFL) bila kuangalia ushiriki wao kwenye ligi kuu ya Tanzania. Pia kombe hilo halitaathiri ushiriki wa timu kwenye mataifa yanayopeleka timu 4 kwenye mashindano ya CAF. 

-Iwapo taifa lipo kwenye mataifa 12 ambayo yanapaswa kupeleka timu 4 litapeleka timu 4 iwapo kwenye club ranking unakuta taifa hilo lina timu moja tu zile zingine 3 zitashiriki klabu bingwa Afrika (CAF Champion League). 

-Kuna timu zitapata bahati ya kushiriki African Football League (AFL) kama Orlando Pirates ya Afrika kusini, Wydad ya Morocco wao watashiriki African Football League bila kuangalia au kujali ushiriki wao kwenye ligi kuu ya nchini kwao hata wamalize nafasi ya 7 kwenye ligi club ranking zinawabeba.

By Maximilian Damian reporter



Follow us on



YouTube


Facebook

Comments

Popular posts from this blog

Klabu ya Yanga SC imefanya uzinduzi wa jezi mpya watakazotumia kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika 2024/25 Unazipa Marks ngapi kati ya 10____?

YANGA SC NEWS UPDATE Klabu ya Yanga SC imefanya uzinduzi wa jezi mpya watakazotumia kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika 2024/25 Unazipa Marks ngapi kati ya 10____? Young Africans SC  𝐂𝐀𝐅𝐂𝐋 πŸπŸŽπŸπŸ’/πŸπŸ“ - π“π‡πˆπ‘πƒ πŠπˆπ“πŸ”° #TimuYaWananchi  #DaimaMbeleNyumaMwiko

TUZO ZA TFF KUTOLEWA LEO KATIKA UKUMBI WA SUPER DOME MASAKI

YANGA SC NEWS UPDATE ... 🚨 π—¨π—£π——π—”π—§π—˜π—¦ β„Ή️ Tuzo za (TFF) zitafanyika   1 Aug 2024 katika ukumbi wa Super Dome Masaki.  Zaidi ya watu 550 watahudhulia.  β„Ή️ Bodi ya ligi kuu Tanzania bara imesema kuwa, wamechelewa kutoa ratiba ya ligi kuu kwa sababu ya confirmation ya viwanja.  Bodi hiyo imeeleza kuwa, 24 | 25 wamepanga kutumia viwanja vichache ambayo ni bora ili kulinda hadhi ya ligi kuu Tanzania bara.

TAARIFA NJEMA KWA YANGA SC

YANGA SC NEWS UPDATE Hii inaweza kuwa habari njema kwa Yanga baada ya taarifa kutoka Algeria kubainisha kwamba mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika Kundi A dhidi ya MC Alger utachezwa palepale ulipopangwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) na si vinginevyo. . Awali MC Alger kupitia rais wa klabu hiyo, Mohamed Hakim walipeleka barua CAF kuomba kubadilisha uwanja wa mechi kutoka 5 July 1962 na wakitaka kuutumia Ali la Pointe, lakini ombi lao limekataliwa.  . Mechi hiyo imepangwa kuchezwa Jumamosi, wiki hii. Uwanja wa 5 July 1962 uliopo katika Mji wa Algiers ni karibu zaidi na Uwanja wa Ndege wa Houari Boumediene ambao Yanga itatua leo mchana ikitokea Dar es Salaam, hivyo haitawapa wakati mgumu wa kuanzisha safari nyingine kwenda Douera unapopatikana Uwanja wa Ali la Pointe.  . Hata hivyo, MC Alger waliangalia mbali zaidi kwani Uwanja wa Ali la Pointe ndiyo wanautumia zaidi kwa mechi za nyumbani za ligi, hivyo wameuzoea zaidi kulinganisha na 5 July 1962. Kitendo cha CAF kutokuba...