Skip to main content

HII APA RECORD MPYA YA AZIZ KI

Sports and Games

MAKOLO  rasmi nafasi ya tatu na kukata tiketi ya kushiriki kombe la Shirikisho Afrika msimu ujao huku Azam Fc ikiungana na Yanga Sc kucheza Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao.

Kwenye mbio za ufungaji bora, Stephanie Aziz Ki amejihakikishia kiatu cha ufungaji bora baada ya kufunga hat-trick na kufikisha magoli 21 kwenye Ligi Kuu ya NBC Tanzania bara msimu huu, mawili mbele ya Faisal Salum 'Feitoto' mwenye magoli 19.

Kwenye mbio za kuwania tuzo ya kipa bora wa msimu, Ley Matampi wa Coastal Union amempiku Djigui Diarra wa Yanga Kwa kufikisha 'clean sheets' 15 baada ya kuisaidia Coastal Union kwenye sare ya 0-0 dhidi ya KMC.

FT: Simba 2-0 JKT Tanzania
⚽ Saido (P) 88'
⚽ Onana 90+3'

FT: Yanga 4-1 TZ Prisons
⚽⚽⚽ Aziz Ki 11’, 12’, 79’
⚽ Musonda 52’
⚽ Ngassa 5’)

FT: Geita Gold 0-2 Azam Fc
⚽ Yeison 58’
⚽ Feisal 71’

FT: Namungo 3-1 Tabora United (Buswita 19’, 28’p, Manyanya 77’ / Abbas 84’)

FT: Coastal Union 0-0 KMC

FT: Mashujaa 3-0 Dodoma Jiji (Lusajo 6’, 47’, Ulomi

FT: Ihefu SC 5-1 Mtibwa Sugar (Bola 5’, Chukwu 16’, Mgunda 41’, 62’, 74’ / Karihe 37’)

FT: Singida FG 2-3 Kagera Sugar (Kidemile 19’, Kaseke 84’p / Mafie 40’, Mbaraka 46’, Mhilu 82'


By Maximilian Damian reporter



Follow us on



YouTube


Facebook 

Comments

Popular posts from this blog

Klabu ya Yanga SC imefanya uzinduzi wa jezi mpya watakazotumia kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika 2024/25 Unazipa Marks ngapi kati ya 10____?

YANGA SC NEWS UPDATE Klabu ya Yanga SC imefanya uzinduzi wa jezi mpya watakazotumia kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika 2024/25 Unazipa Marks ngapi kati ya 10____? Young Africans SC  𝐂𝐀𝐅𝐂𝐋 πŸπŸŽπŸπŸ’/πŸπŸ“ - π“π‡πˆπ‘πƒ πŠπˆπ“πŸ”° #TimuYaWananchi  #DaimaMbeleNyumaMwiko

TUZO ZA TFF KUTOLEWA LEO KATIKA UKUMBI WA SUPER DOME MASAKI

YANGA SC NEWS UPDATE ... 🚨 π—¨π—£π——π—”π—§π—˜π—¦ β„Ή️ Tuzo za (TFF) zitafanyika   1 Aug 2024 katika ukumbi wa Super Dome Masaki.  Zaidi ya watu 550 watahudhulia.  β„Ή️ Bodi ya ligi kuu Tanzania bara imesema kuwa, wamechelewa kutoa ratiba ya ligi kuu kwa sababu ya confirmation ya viwanja.  Bodi hiyo imeeleza kuwa, 24 | 25 wamepanga kutumia viwanja vichache ambayo ni bora ili kulinda hadhi ya ligi kuu Tanzania bara.

TAARIFA NJEMA KWA YANGA SC

YANGA SC NEWS UPDATE Hii inaweza kuwa habari njema kwa Yanga baada ya taarifa kutoka Algeria kubainisha kwamba mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika Kundi A dhidi ya MC Alger utachezwa palepale ulipopangwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) na si vinginevyo. . Awali MC Alger kupitia rais wa klabu hiyo, Mohamed Hakim walipeleka barua CAF kuomba kubadilisha uwanja wa mechi kutoka 5 July 1962 na wakitaka kuutumia Ali la Pointe, lakini ombi lao limekataliwa.  . Mechi hiyo imepangwa kuchezwa Jumamosi, wiki hii. Uwanja wa 5 July 1962 uliopo katika Mji wa Algiers ni karibu zaidi na Uwanja wa Ndege wa Houari Boumediene ambao Yanga itatua leo mchana ikitokea Dar es Salaam, hivyo haitawapa wakati mgumu wa kuanzisha safari nyingine kwenda Douera unapopatikana Uwanja wa Ali la Pointe.  . Hata hivyo, MC Alger waliangalia mbali zaidi kwani Uwanja wa Ali la Pointe ndiyo wanautumia zaidi kwa mechi za nyumbani za ligi, hivyo wameuzoea zaidi kulinganisha na 5 July 1962. Kitendo cha CAF kutokuba...