Skip to main content

HISTORIA FUPI YA STEPHEN AZIZ KI HII HAPA ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

Sports and Games

ALIZALIWA katika Jiji la Abidjan Nchini Ivory Coast ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ.Akakulia huko Ivory Coast ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ na Burkina Faso ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ซ kabla ya kuelekea Barani Ulaya katika Nchi ya Uhispania.Akasajiliwa na kucheza katika vilabu mbalimbali huko Ulaya ikiwemo Klabu ya Rayo Vallecano ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ kabla ya kurejea Tena Barani Afrika.

KUTOKA Burkina Faso ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ซ mpaka Dar Es Salaam Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ,Kijana wa Miaka 28,Stephane Aziz Ki ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ซ aliyesajiliwa na Yanga SC ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ kwa dau la dola za Kimarekani 300,000 ambazo ni zaidi ya Shilingi Milioni 699 za Kitanzania amekuwa Mchezaji wa kwanza kufunga mabao 21 kwenye Ligi Kuu ikiwa na timu 16 na kuwa Mfungaji bora wa Msimu wa 2023/24.

MPENI maua yake AZIZ KI mkononi na tena ikiwa ni mchana msisubiri usiku ndio mkayatupe majararani.Uwe una mkubali au haumkubali basi jitahidi kutoa heshima kwake ๐Ÿ‘Š๐Ÿฟ

The Guy is so so so Pure Talented,Stephane Aziz Ki ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ซ,Mtakatifu STEPHANO,Genius wa BOLU,Messi wa Mpira ๐Ÿ“Œ


By Maximilian Damian reporter



Follow us on



YouTube




Facebook

Comments

Popular posts from this blog

TETESI: Klabu ya Yanga SC imepanga kuachana na Nyota wake 6 ambao ni Mghana Agustine Okrah, kiungo Mahlatse Skudu Makudubela

YANGA SC NEWS UPDATE #TETESI: Klabu ya Yanga SC imepanga kuachana na Nyota wake 6 ambao ni Mghana Agustine Okrah, kiungo Mahlatse Skudu Makudubela kutoka Afrika Kusini, Mkongo Joyce Lomalisa, Zawadi Mauya, Metacha Mnata na Joseph Guede kutoka nchini Ivory Coast. Taarifa za ndani zinasema tayari wa Uongozi wa Yanga SC wamemaliza kuwaongezea mikataba nyota wote watakaosalia kikosini hapo kwa msimu 2024-25 lakini majina va wachezaji hao sio sehemu ya wachezaji waliongezewa mikataba kuelekea msimu ujao wa Mashindano ndani ya Yanga SC. Yupi alistahili kubaki ndani ya Yanga msimu ujao hapo??

HAYA APA MATOKEO YOTE YA NBC PREMIER LEAGUE LEO FULL TIME

Sports and Games #NBCPL MATOKEO  Zimepigwa #hattrick mbili leo, moja ikitoka kwa Ismail Mgunda wa Ihefu na nyingine imetoka kwa โ€ฆโ€ฆ.. FT: Simba 2-0 JKT Tanzania (Saido 88โ€™p, Onana 90โ€™+2) FT: Geita Gold 0-2 Azam (Yeison 58โ€™, Feisal 71โ€™) FT: Yanga 4-1 TZ Prisons (Aziz Ki 11โ€™, 12โ€™, 79โ€™ Musonda 52โ€™ / Ngassa 5โ€™) FT: Namungo 3-2 Tabora United (Buswita 19โ€™, 28โ€™p, Manyanya 77โ€™ / Abbas 84โ€™, Moses) FT: Coastal Union 0-0 KMC  FT: Mashujaa 3-0 Dodoma Jiji (Lusajo 6โ€™, 47โ€™, Ulomi 84โ€™) FT: Ihefu SC 5-1 Mtibwa Sugar (Bola 5โ€™, Chukwu 16โ€™, Mgunda 41โ€™, 62โ€™, 74โ€™ / Karihe 37โ€™) FT: Singida FG 2-3 Kagera Sugar (Kidemile 19โ€™, Kaseke 84โ€™p / Mafie 40โ€™, Mbaraka 46โ€™, Mhilu 82โ€ By Maximilian Damian reporter Follow us on YouTube Facebook

MTI WA SUGAR RASMI AAGA LIGI KUU NBC PREMIER LEAGUE

Sports and Games MSIMAMO: NI rasmi sasa nafasi ya nne msimu huu inamilikiwa kihalali na Coastal Union wakati vita ya kukwepa kushuka daraja moja kwa moja likisalia kwa Geita Gold na Tabora Unitedโ€ฆโ€ฆ Je, nani atamfuata Mtibwa Sugar???    #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #SokaLetuBambam #Msimamo #Standing #LeagueTable By Maximilian Damian reporter Follow us on YouTube channel Facebook