Skip to main content

SHIDA INAANZIA HAPA KWA MAKOLO MWAKANI πŸ’ͺπŸ’ͺ

Sports and Games

... 🚨 π—žπ—œπ—‘π—­π—¨π— π—•π—œ 𝗑𝗔 π—¬π—”π—‘π—šπ—”

Ni rasmi klabu ya Yanga inamuhitaji winger Phillipe Kinzumbi (24) na tayari wako kwenye mazungumzo na klabu ya TP Mazembe πŸ‡¨πŸ‡©

Ikumbukwe :

TP Mazembe walipanda ndege hadi Zambia kumfuata Kennedy Musonda msimu uliopita wakakuta tayari alishadakwa na Yanga SC.

Yanga pia walionesha nia ya kumtaka Phillipe Kinzumbi tangu msimu uliopita.

TP Mazembe ambao ni washirika wa Yanga SC kwa sasa wamewaambia Yanga kuwa, wako tayari kuwaachia winger wao tegemeo Phillipe Kinzumbi ila kwa sharti moja...

... Wafanye SWAP DEAL. Musonda + pesa kiasi waende TP Mazembe na Phillipe Kinzumbi aende Yanga SC.

Mchezaji (Kinzumbi) yuko tayari kujiunga na mabingwa mara 30 wa Tanzania Yanga SC.

Mazungumzo yanaendelea ..


By Maximilian Damian reporter


Follow us on



YouTube



Facebook

Comments

Popular posts from this blog

Klabu ya Yanga SC imefanya uzinduzi wa jezi mpya watakazotumia kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika 2024/25 Unazipa Marks ngapi kati ya 10____?

YANGA SC NEWS UPDATE Klabu ya Yanga SC imefanya uzinduzi wa jezi mpya watakazotumia kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika 2024/25 Unazipa Marks ngapi kati ya 10____? Young Africans SC  𝐂𝐀𝐅𝐂𝐋 πŸπŸŽπŸπŸ’/πŸπŸ“ - π“π‡πˆπ‘πƒ πŠπˆπ“πŸ”° #TimuYaWananchi  #DaimaMbeleNyumaMwiko

TUZO ZA TFF KUTOLEWA LEO KATIKA UKUMBI WA SUPER DOME MASAKI

YANGA SC NEWS UPDATE ... 🚨 π—¨π—£π——π—”π—§π—˜π—¦ β„Ή️ Tuzo za (TFF) zitafanyika   1 Aug 2024 katika ukumbi wa Super Dome Masaki.  Zaidi ya watu 550 watahudhulia.  β„Ή️ Bodi ya ligi kuu Tanzania bara imesema kuwa, wamechelewa kutoa ratiba ya ligi kuu kwa sababu ya confirmation ya viwanja.  Bodi hiyo imeeleza kuwa, 24 | 25 wamepanga kutumia viwanja vichache ambayo ni bora ili kulinda hadhi ya ligi kuu Tanzania bara.

TAARIFA NJEMA KWA YANGA SC

YANGA SC NEWS UPDATE Hii inaweza kuwa habari njema kwa Yanga baada ya taarifa kutoka Algeria kubainisha kwamba mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika Kundi A dhidi ya MC Alger utachezwa palepale ulipopangwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) na si vinginevyo. . Awali MC Alger kupitia rais wa klabu hiyo, Mohamed Hakim walipeleka barua CAF kuomba kubadilisha uwanja wa mechi kutoka 5 July 1962 na wakitaka kuutumia Ali la Pointe, lakini ombi lao limekataliwa.  . Mechi hiyo imepangwa kuchezwa Jumamosi, wiki hii. Uwanja wa 5 July 1962 uliopo katika Mji wa Algiers ni karibu zaidi na Uwanja wa Ndege wa Houari Boumediene ambao Yanga itatua leo mchana ikitokea Dar es Salaam, hivyo haitawapa wakati mgumu wa kuanzisha safari nyingine kwenda Douera unapopatikana Uwanja wa Ali la Pointe.  . Hata hivyo, MC Alger waliangalia mbali zaidi kwani Uwanja wa Ali la Pointe ndiyo wanautumia zaidi kwa mechi za nyumbani za ligi, hivyo wameuzoea zaidi kulinganisha na 5 July 1962. Kitendo cha CAF kutokuba...