Skip to main content

USHAURI WA MR. HAJI MANARA KWA TFF

Sports and Games


''Viongozi wangu Wapendwa sana naogopa hata kuwashauri nisije kuonekane Bindeli,lakini haijawahi kutokea duniani kote tuzo za msimu huu zitolewe msimu ujao.

Ngao ya Jamii ni mwanzo wa msimu na mmeamua tuzo za msimu huu tulionao mzipeleke next season, mmetumia kigezo gani hasa Shirikisho?
Imagine Wachezaji wengine labda watahama team na tuzo binafsi zinahusiana direct na team yake coz wenzie kikosini na bench lake la ufundi wana mchango wao kwake, itakuwaje hapo ?

Lakini pia kuzihamisha tuzo za msimu huu kuzipeleka msimu ujao kutatengeneza maswali mengi iwapo wanaotarajiwa kupata hzo tuzo wasipate,,kwa akili zetu zilivyo itaonekana kulikuwa na hila wakati hamna hyo tabia.

Ahhh ikiwapendeza Wakubwa wa Mpira wapeni chao wanaostahili kupewa hizo tuzo kabla hawajaanza likizo ili wakaonyeshe makwao kile walichovuna msimu huu.

Bangusilo  nimemshauri tuπŸ™πŸ™''

Nukuu kutoka katika facebook page ya Aji Manara


By Maximilian Damian reporter



Follow us on



YouTube




Facebook


Comments

Popular posts from this blog

Klabu ya Yanga SC imefanya uzinduzi wa jezi mpya watakazotumia kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika 2024/25 Unazipa Marks ngapi kati ya 10____?

YANGA SC NEWS UPDATE Klabu ya Yanga SC imefanya uzinduzi wa jezi mpya watakazotumia kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika 2024/25 Unazipa Marks ngapi kati ya 10____? Young Africans SC  𝐂𝐀𝐅𝐂𝐋 πŸπŸŽπŸπŸ’/πŸπŸ“ - π“π‡πˆπ‘πƒ πŠπˆπ“πŸ”° #TimuYaWananchi  #DaimaMbeleNyumaMwiko

TUZO ZA TFF KUTOLEWA LEO KATIKA UKUMBI WA SUPER DOME MASAKI

YANGA SC NEWS UPDATE ... 🚨 π—¨π—£π——π—”π—§π—˜π—¦ β„Ή️ Tuzo za (TFF) zitafanyika   1 Aug 2024 katika ukumbi wa Super Dome Masaki.  Zaidi ya watu 550 watahudhulia.  β„Ή️ Bodi ya ligi kuu Tanzania bara imesema kuwa, wamechelewa kutoa ratiba ya ligi kuu kwa sababu ya confirmation ya viwanja.  Bodi hiyo imeeleza kuwa, 24 | 25 wamepanga kutumia viwanja vichache ambayo ni bora ili kulinda hadhi ya ligi kuu Tanzania bara.

TAARIFA NJEMA KWA YANGA SC

YANGA SC NEWS UPDATE Hii inaweza kuwa habari njema kwa Yanga baada ya taarifa kutoka Algeria kubainisha kwamba mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika Kundi A dhidi ya MC Alger utachezwa palepale ulipopangwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) na si vinginevyo. . Awali MC Alger kupitia rais wa klabu hiyo, Mohamed Hakim walipeleka barua CAF kuomba kubadilisha uwanja wa mechi kutoka 5 July 1962 na wakitaka kuutumia Ali la Pointe, lakini ombi lao limekataliwa.  . Mechi hiyo imepangwa kuchezwa Jumamosi, wiki hii. Uwanja wa 5 July 1962 uliopo katika Mji wa Algiers ni karibu zaidi na Uwanja wa Ndege wa Houari Boumediene ambao Yanga itatua leo mchana ikitokea Dar es Salaam, hivyo haitawapa wakati mgumu wa kuanzisha safari nyingine kwenda Douera unapopatikana Uwanja wa Ali la Pointe.  . Hata hivyo, MC Alger waliangalia mbali zaidi kwani Uwanja wa Ali la Pointe ndiyo wanautumia zaidi kwa mechi za nyumbani za ligi, hivyo wameuzoea zaidi kulinganisha na 5 July 1962. Kitendo cha CAF kutokuba...