Skip to main content

VITA YA MFUNGAJI BORA BADO MBICHI


Sports and Games

Vita ya nafasi ya pili bado mbichi huku Azam FC akiendelea kuwa mbele kufuatia ushindi wa 5-1 dhidi ya Kagera Sugar katika dimba la Azam Complex, Chamazi wakati Mnyama akiambulia ushindi mwembamba dhidi ya KMC Fc katika dimba la Sheikh Amri Abeid.

Mbio za kiatu cha ufungaji bora zinaendelea kupamba moto baada ya Feitoto kufunga magoli mawili huku Stephanie Aziz Ki akiongeza moja kwenye akaunti yake ya magoli kufikisha magoli 18 sawa na Faisal Salum.

𝐅𝐔𝐋𝐋 𝐓𝐈𝐌𝐄: NBCPL 🇹🇿

Yanga 3-0 Tabora United (Guede 19’, Maxi 49’, Aziz Ki 90+2'

Simba 1-0 KMC (Saido 03’)

Azam 5-1 Kagera Sugar (Gibril 50’, Kipre 65’, Feisal 72’, 79’, Nado / Mbaraka 51’)

Singida 2-1 Geita Gold (Gyan 7’, Amos 18’ / Kyaruzi 54’)

Namungo 2-2 TZ Prisons (Mukombozi 58’ 84’ / Zabona 33’, Benedicto 61’)

Ihefu 0-2 Dodoma Jiji (Mgaza 7’, Zigah 89’)

Mashujaa 3-2 Mtibwa Sugar (Lusajo 3’, 26’ / Karihe 15’, Madeleke 55’ OG)

Coastal Union 0-0 JKT Tanzania


Comments

Popular posts from this blog

TETESI: Klabu ya Yanga SC imepanga kuachana na Nyota wake 6 ambao ni Mghana Agustine Okrah, kiungo Mahlatse Skudu Makudubela

YANGA SC NEWS UPDATE #TETESI: Klabu ya Yanga SC imepanga kuachana na Nyota wake 6 ambao ni Mghana Agustine Okrah, kiungo Mahlatse Skudu Makudubela kutoka Afrika Kusini, Mkongo Joyce Lomalisa, Zawadi Mauya, Metacha Mnata na Joseph Guede kutoka nchini Ivory Coast. Taarifa za ndani zinasema tayari wa Uongozi wa Yanga SC wamemaliza kuwaongezea mikataba nyota wote watakaosalia kikosini hapo kwa msimu 2024-25 lakini majina va wachezaji hao sio sehemu ya wachezaji waliongezewa mikataba kuelekea msimu ujao wa Mashindano ndani ya Yanga SC. Yupi alistahili kubaki ndani ya Yanga msimu ujao hapo??

Kiungo wa Yanga Sc, Stephanie Aziz Ki amekata mzizi wa fitina juu ya mustakabali wake kufuatia taharuki

Sports and Games Kiungo wa Yanga Sc, Stephanie Aziz Ki amekata mzizi wa fitina juu ya mustakabali wake kufuatia taharuki iliyozuka miongoni mwa wapenzi wa soka baada ya posti yake aliyochapisha kwenye mitandao ya kijamii kuzua sintofahamu. Awali kiungo huyo raia wa Burkina Faso alichapisha taarifa ya kuushukuru uongozi wa klabu hiyo, mashabiki pamoja za wachezaji wenzie kwa mafanikio waliyoyapata katika msimu uliomalizika hali iliyopelekea wengi kudhani anaaga Yanga. Hata hivyo Aziz Ki amejibu 'comment' ya mdau iliyosema “Ashiiii Azizi sasa kwenye post yako usianze na maneno 'thanks' unatufanye tuhofie kuwa unataka kuondoka” Akijibu 'comment' hiyo Ki ameandika “Nawashukuru kwa sababu ni jambo dogo sana ninaloweza kufanya kuwashukuru nyinyi ambao mnanisaidia kila siku, SIO KWAHERI NIKO HAPA MSIJALI” Posti iliyozua sintofahamu ilisomeka "Kila kitu kiliwezekana Shukrani kwenu wachezaji wenzangu, wafanyakazi, kamati ya rais na hasa nyinyi mashabiki, wapendwa wa...

BREAKING NEWS YANGA SC YAONDOLEWA ADHABU NA FIFA

Sports and Games Taarifa kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) @taifastars_ @caf_online @yangasc By Maximilian Damian reporter Follow us on Facebook