Skip to main content

YANGA KUANZIA HATUA YA MAKUNDI MSIMU UJAO

Sports and Games



𝗬𝗢𝗨𝗡𝗚 𝗔𝗙𝗥𝗜𝗖𝗔𝗡𝗦 (𝗖𝗔𝗙) 𝗠𝗦𝗜𝗠𝗨 𝗨𝗝𝗔𝗢 🔰✅

Kuelekea michuano ya ligi ya Mabingwa Afrika 24|25 klabu ya Yanga inaweza isianzie hatua ya awali | Preliminary round.

Kwa mujibu wa (CAF) timu (10) za juu kwenye viwango wa (CAF) hazianzii preliminary round kwenye ligi ya Mabingwa.

Currently club Ranking :

01. 🇪🇬 Al-Ahly Cairo (82)
02. 🇹🇳 Esperance de Tunis (61) 
03. 🇲🇦 Wydad Casablanca (60) - ❌
04. 🇿🇦 Mamelodi Sundowns (54)
05. 🇪🇬 Zamalek (43) - ❌
06. 🇲🇦 RS Berkane (42) - ❌
07. 🇹🇿 Simba SC (39) - ⚠️
08. 🇦🇴 Petro Atletico - (39) 
09. 🇨🇩 TP Mazembe - (38) 
10. 🇩🇿 CR Belouizdad - (37)
11. 🇩🇿 USM Alger (36) - ❌
12. 🇲🇦 Raja Casablanca - (35)
13. 🇹🇿 Young Africans SC - (31) 
14. 🇨🇮 ASEC Mimosas - (30)

𝗞𝘄𝗮 𝗻𝗶𝗻𝗶 𝗮𝘀𝗶𝗮𝗻𝘇𝗶𝗲 𝗽𝗿𝗲𝗹𝗶𝗺𝗶𝗻𝗮𝗿𝘆 ?

Klabu (4) zenye (X) zilizo juu ya Yanga SC kwenye viwango vya (CAF) hapo kwenye list hazitashiriki ligi ya Mabingwa Afrika 24|25, wanaenda Shirikisho (CAF).

Maana yake ukizitoa timu hizo Yanga anaingia kwenye top (10) ya timu bora ambazo zina qualify kutoanzia hatua ya awali Preliminary round CAF champions league msimu ujao 24|25.. Yaani :

01 ◉ Al-Ahly Cairo 🇪🇬
02 ◉ Esperance de Tunis 🇹🇳
03 ◉ Mamelodi Sundowns 🇿🇦
04 ◉ Simba 🇹🇿 (Hakuna uhakika) ⚠️
05 ◉ Petro Atletico 🇦🇴
06 ◉ TP Mazembe 🇨🇩
07 ◉ CR Belouizdad 🇩🇿
08 ◉ Raja Casablanca 🇲🇦
09 ◉ Young Africans 🇹🇿
10 ◉ ASEC Mimosas 🇨🇮

Iwapo Simba asipofuzu kushiriki ligi ya Mabingwa Afrika timu nyingine iliyo nyuma ya ASEC Mimosas itaingia top (10) na kupata sifa ya kutoanzia preliminary round.

Pia Young Afticans SC wakiingia group stage watawekwa kwenye POT (B) tofauti na POT (C) walipokuwa last season


By Maximilian Damian reporter


Follow us on


YouTube




Facebook

Comments

Popular posts from this blog

Klabu ya Yanga SC imefanya uzinduzi wa jezi mpya watakazotumia kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika 2024/25 Unazipa Marks ngapi kati ya 10____?

YANGA SC NEWS UPDATE Klabu ya Yanga SC imefanya uzinduzi wa jezi mpya watakazotumia kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika 2024/25 Unazipa Marks ngapi kati ya 10____? Young Africans SC  𝐂𝐀𝐅𝐂𝐋 𝟐𝟎𝟐𝟒/𝟐𝟓 - 𝐓𝐇𝐈𝐑𝐃 𝐊𝐈𝐓🔰 #TimuYaWananchi  #DaimaMbeleNyumaMwiko

TUZO ZA TFF KUTOLEWA LEO KATIKA UKUMBI WA SUPER DOME MASAKI

YANGA SC NEWS UPDATE ... 🚨 𝗨𝗣𝗗𝗔𝗧𝗘𝗦 ℹ️ Tuzo za (TFF) zitafanyika   1 Aug 2024 katika ukumbi wa Super Dome Masaki.  Zaidi ya watu 550 watahudhulia.  ℹ️ Bodi ya ligi kuu Tanzania bara imesema kuwa, wamechelewa kutoa ratiba ya ligi kuu kwa sababu ya confirmation ya viwanja.  Bodi hiyo imeeleza kuwa, 24 | 25 wamepanga kutumia viwanja vichache ambayo ni bora ili kulinda hadhi ya ligi kuu Tanzania bara.

TAARIFA NJEMA KWA YANGA SC

YANGA SC NEWS UPDATE Hii inaweza kuwa habari njema kwa Yanga baada ya taarifa kutoka Algeria kubainisha kwamba mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika Kundi A dhidi ya MC Alger utachezwa palepale ulipopangwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) na si vinginevyo. . Awali MC Alger kupitia rais wa klabu hiyo, Mohamed Hakim walipeleka barua CAF kuomba kubadilisha uwanja wa mechi kutoka 5 July 1962 na wakitaka kuutumia Ali la Pointe, lakini ombi lao limekataliwa.  . Mechi hiyo imepangwa kuchezwa Jumamosi, wiki hii. Uwanja wa 5 July 1962 uliopo katika Mji wa Algiers ni karibu zaidi na Uwanja wa Ndege wa Houari Boumediene ambao Yanga itatua leo mchana ikitokea Dar es Salaam, hivyo haitawapa wakati mgumu wa kuanzisha safari nyingine kwenda Douera unapopatikana Uwanja wa Ali la Pointe.  . Hata hivyo, MC Alger waliangalia mbali zaidi kwani Uwanja wa Ali la Pointe ndiyo wanautumia zaidi kwa mechi za nyumbani za ligi, hivyo wameuzoea zaidi kulinganisha na 5 July 1962. Kitendo cha CAF kutokuba...