Skip to main content

𝗬𝗔𝗡𝗚𝗔 𝗜𝗧𝗔𝗙𝗨𝗡𝗜𝗞𝗔 𝗪𝗜𝗞𝗜 𝗬𝗔 𝗠𝗪𝗔𝗡𝗔𝗡𝗖𝗛𝗜 𝗕𝗨𝗚𝗔𝗔𝗧𝗜 𝗔𝗥𝗘𝗝𝗘𝗔 2024/25

YANGA SC NEWS UPDATE


𝗬𝗔𝗡𝗚𝗔 𝗜𝗧𝗔𝗙𝗨𝗡𝗜𝗞𝗔 𝗪𝗜𝗞𝗜 𝗬𝗔 𝗠𝗪𝗔𝗡𝗔𝗡𝗖𝗛𝗜 𝗕𝗨𝗚𝗔𝗔𝗧𝗜 𝗔𝗥𝗘𝗝𝗘𝗔 2024/25


Ni wazi Tamasha la Wiki ya Mwananchi kuelekea msimu ujao litakuwa la aina yake na pengine litakuwa Tamasha la kwanza ambalo Yanga wanaweza kumaliza tiketi mapema kuliko wakati mwingine wowote

Baada ya mafanikio ya timu hiyo katika misimu mitatu mfululizo pamoja na aina ya usajili ambao Yanga wameufanya Wananchi wako tayari kwa Tamasha hili na linakwenda kuvunja rekodi

Meneja wa habari na mawasiliano klabu ya Yanga Ali Kamwe amesema kuanzia Julai 01 wataanza kutangaza taarifa za maboresho ya kikosi na pale watakapokamilisha zoezi hilo mipango ya kuelekea Wiki ya Mwananchi itawekwa wazi

Aidha Yanga itaondoka nchini mwanzoni mwa Julai kwenda kuweka kambi nje ya nchi na pale watakaporejea ni katika Tamasha la Wiki ya Mwananchi

Baada ya kukosekana kwa misimu miwili ya Wiki ya Mwananchi kutokana na kifungo, Haji Manara 'Buggati' amemaliza kifungo chake na atakuwepo katika tamasha hilo

Manara ametamba kuwa tayari ameanza kufanya mazoezi kwaajili ya utambulisho wa wachezaji wapya 

Aidha kuna taarifa kuwa mabosi wa Yanga huenda wakaialika klabu ya Mamelodi Sundowns katika Tamasha hilo 

Yanga bado haijamalizana na Sundowns kutokana na kile kilichotokea katika ligi ya mabingwa msimu uliopita 








KAMA UNATUMIA MTANDAO WA TIGO!!! HII NIKWAAJILI YAKO!!!

Nenda kwenye Google play store

Download app ya Tigo pesa then jisajili kisha Nenda sehem ilioandikwa *Invite& Earn* Gusa pale then gusa neno "REDEEM" au KOMBOA afu kwenye Code jaza "TBN6439Y" Tayali apo utapata Gb 1 na shiling 2000 Kutoka tigo

KUMBUKA KUJAZA HILI NENO HAPO CHINI
            👇👇

          TBN6439Y





Comments

Popular posts from this blog

Klabu ya Yanga SC imefanya uzinduzi wa jezi mpya watakazotumia kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika 2024/25 Unazipa Marks ngapi kati ya 10____?

YANGA SC NEWS UPDATE Klabu ya Yanga SC imefanya uzinduzi wa jezi mpya watakazotumia kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika 2024/25 Unazipa Marks ngapi kati ya 10____? Young Africans SC  𝐂𝐀𝐅𝐂𝐋 𝟐𝟎𝟐𝟒/𝟐𝟓 - 𝐓𝐇𝐈𝐑𝐃 𝐊𝐈𝐓🔰 #TimuYaWananchi  #DaimaMbeleNyumaMwiko

TAARIFA NJEMA KWA YANGA SC

YANGA SC NEWS UPDATE Hii inaweza kuwa habari njema kwa Yanga baada ya taarifa kutoka Algeria kubainisha kwamba mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika Kundi A dhidi ya MC Alger utachezwa palepale ulipopangwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) na si vinginevyo. . Awali MC Alger kupitia rais wa klabu hiyo, Mohamed Hakim walipeleka barua CAF kuomba kubadilisha uwanja wa mechi kutoka 5 July 1962 na wakitaka kuutumia Ali la Pointe, lakini ombi lao limekataliwa.  . Mechi hiyo imepangwa kuchezwa Jumamosi, wiki hii. Uwanja wa 5 July 1962 uliopo katika Mji wa Algiers ni karibu zaidi na Uwanja wa Ndege wa Houari Boumediene ambao Yanga itatua leo mchana ikitokea Dar es Salaam, hivyo haitawapa wakati mgumu wa kuanzisha safari nyingine kwenda Douera unapopatikana Uwanja wa Ali la Pointe.  . Hata hivyo, MC Alger waliangalia mbali zaidi kwani Uwanja wa Ali la Pointe ndiyo wanautumia zaidi kwa mechi za nyumbani za ligi, hivyo wameuzoea zaidi kulinganisha na 5 July 1962. Kitendo cha CAF kutokuba...

WALE WALIOKUA NA SHAUKU YA KUJUA UPI NI UZI MKALI ZAIDI KATI YA JEZI ZOTE ZA YANGA NA SIMBA (KIMATAIFA).

YANGA SC NEWS UPDATE WALE WALIOKUA NA SHAUKU YA KUJUA UPI NI UZI MKALI ZAIDI KATI YA JEZI ZOTE ZA YANGA NA SIMBA (KIMATAIFA). :: Weka kura yako kwenye comment Je, ni Uzi upi umeukubali zaidi? 𝘛𝘢𝘻𝘢𝘮𝘢 𝘮𝘦𝘤𝘩𝘪 𝘻𝘰𝘵𝘦 𝘻𝘢 𝘕𝘉𝘊 𝘗𝘳𝘦𝘮𝘪𝘦𝘳 𝘓𝘦𝘢𝘨𝘶𝘦, 𝘊𝘈𝘍, 𝘊𝘙𝘋𝘉 𝘍𝘈 𝘊𝘜𝘗, 𝘌𝘗𝘓, 𝘜𝘌𝘍𝘈, 𝘓𝘐𝘝𝘌 𝘬𝘸𝘦𝘯𝘺𝘦 𝘴𝘪𝘮𝘶 𝘺𝘢𝘬𝘰, 𝘋𝘰𝘸𝘯𝘭𝘰𝘢𝘥 𝘈𝘱𝘱 𝘉𝘰𝘯𝘺𝘦𝘻𝘢 👉🏾 http://bit.ly/zetuflix