Skip to main content

π—¬π—”π—‘π—šπ—” π—œπ—§π—”π—™π—¨π—‘π—œπ—žπ—” π—ͺπ—œπ—žπ—œ 𝗬𝗔 𝗠π—ͺπ—”π—‘π—”π—‘π—–π—›π—œ π—•π—¨π—šπ—”π—”π—§π—œ 𝗔π—₯π—˜π—π—˜π—” 2024/25

YANGA SC NEWS UPDATE


π—¬π—”π—‘π—šπ—” π—œπ—§π—”π—™π—¨π—‘π—œπ—žπ—” π—ͺπ—œπ—žπ—œ 𝗬𝗔 𝗠π—ͺπ—”π—‘π—”π—‘π—–π—›π—œ π—•π—¨π—šπ—”π—”π—§π—œ 𝗔π—₯π—˜π—π—˜π—” 2024/25


Ni wazi Tamasha la Wiki ya Mwananchi kuelekea msimu ujao litakuwa la aina yake na pengine litakuwa Tamasha la kwanza ambalo Yanga wanaweza kumaliza tiketi mapema kuliko wakati mwingine wowote

Baada ya mafanikio ya timu hiyo katika misimu mitatu mfululizo pamoja na aina ya usajili ambao Yanga wameufanya Wananchi wako tayari kwa Tamasha hili na linakwenda kuvunja rekodi

Meneja wa habari na mawasiliano klabu ya Yanga Ali Kamwe amesema kuanzia Julai 01 wataanza kutangaza taarifa za maboresho ya kikosi na pale watakapokamilisha zoezi hilo mipango ya kuelekea Wiki ya Mwananchi itawekwa wazi

Aidha Yanga itaondoka nchini mwanzoni mwa Julai kwenda kuweka kambi nje ya nchi na pale watakaporejea ni katika Tamasha la Wiki ya Mwananchi

Baada ya kukosekana kwa misimu miwili ya Wiki ya Mwananchi kutokana na kifungo, Haji Manara 'Buggati' amemaliza kifungo chake na atakuwepo katika tamasha hilo

Manara ametamba kuwa tayari ameanza kufanya mazoezi kwaajili ya utambulisho wa wachezaji wapya 

Aidha kuna taarifa kuwa mabosi wa Yanga huenda wakaialika klabu ya Mamelodi Sundowns katika Tamasha hilo 

Yanga bado haijamalizana na Sundowns kutokana na kile kilichotokea katika ligi ya mabingwa msimu uliopita 








KAMA UNATUMIA MTANDAO WA TIGO!!! HII NIKWAAJILI YAKO!!!

Nenda kwenye Google play store

Download app ya Tigo pesa then jisajili kisha Nenda sehem ilioandikwa *Invite& Earn* Gusa pale then gusa neno "REDEEM" au KOMBOA afu kwenye Code jaza "TBN6439Y" Tayali apo utapata Gb 1 na shiling 2000 Kutoka tigo

KUMBUKA KUJAZA HILI NENO HAPO CHINI
            πŸ‘‡πŸ‘‡

          TBN6439Y





Comments

Popular posts from this blog

TETESI: Klabu ya Yanga SC imepanga kuachana na Nyota wake 6 ambao ni Mghana Agustine Okrah, kiungo Mahlatse Skudu Makudubela

YANGA SC NEWS UPDATE #TETESI: Klabu ya Yanga SC imepanga kuachana na Nyota wake 6 ambao ni Mghana Agustine Okrah, kiungo Mahlatse Skudu Makudubela kutoka Afrika Kusini, Mkongo Joyce Lomalisa, Zawadi Mauya, Metacha Mnata na Joseph Guede kutoka nchini Ivory Coast. Taarifa za ndani zinasema tayari wa Uongozi wa Yanga SC wamemaliza kuwaongezea mikataba nyota wote watakaosalia kikosini hapo kwa msimu 2024-25 lakini majina va wachezaji hao sio sehemu ya wachezaji waliongezewa mikataba kuelekea msimu ujao wa Mashindano ndani ya Yanga SC. Yupi alistahili kubaki ndani ya Yanga msimu ujao hapo??

Kiungo wa Yanga Sc, Stephanie Aziz Ki amekata mzizi wa fitina juu ya mustakabali wake kufuatia taharuki

Sports and Games Kiungo wa Yanga Sc, Stephanie Aziz Ki amekata mzizi wa fitina juu ya mustakabali wake kufuatia taharuki iliyozuka miongoni mwa wapenzi wa soka baada ya posti yake aliyochapisha kwenye mitandao ya kijamii kuzua sintofahamu. Awali kiungo huyo raia wa Burkina Faso alichapisha taarifa ya kuushukuru uongozi wa klabu hiyo, mashabiki pamoja za wachezaji wenzie kwa mafanikio waliyoyapata katika msimu uliomalizika hali iliyopelekea wengi kudhani anaaga Yanga. Hata hivyo Aziz Ki amejibu 'comment' ya mdau iliyosema β€œAshiiii Azizi sasa kwenye post yako usianze na maneno 'thanks' unatufanye tuhofie kuwa unataka kuondoka” Akijibu 'comment' hiyo Ki ameandika β€œNawashukuru kwa sababu ni jambo dogo sana ninaloweza kufanya kuwashukuru nyinyi ambao mnanisaidia kila siku, SIO KWAHERI NIKO HAPA MSIJALI” Posti iliyozua sintofahamu ilisomeka "Kila kitu kiliwezekana Shukrani kwenu wachezaji wenzangu, wafanyakazi, kamati ya rais na hasa nyinyi mashabiki, wapendwa wa...

BREAKING NEWS YANGA SC YAONDOLEWA ADHABU NA FIFA

Sports and Games Taarifa kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) @taifastars_ @caf_online @yangasc By Maximilian Damian reporter Follow us on Facebook