Skip to main content

π—¬π—”π—‘π—šπ—” π—œπ—§π—”π—™π—¨π—‘π—œπ—žπ—” π—ͺπ—œπ—žπ—œ 𝗬𝗔 𝗠π—ͺπ—”π—‘π—”π—‘π—–π—›π—œ π—•π—¨π—šπ—”π—”π—§π—œ 𝗔π—₯π—˜π—π—˜π—” 2024/25

YANGA SC NEWS UPDATE


π—¬π—”π—‘π—šπ—” π—œπ—§π—”π—™π—¨π—‘π—œπ—žπ—” π—ͺπ—œπ—žπ—œ 𝗬𝗔 𝗠π—ͺπ—”π—‘π—”π—‘π—–π—›π—œ π—•π—¨π—šπ—”π—”π—§π—œ 𝗔π—₯π—˜π—π—˜π—” 2024/25


Ni wazi Tamasha la Wiki ya Mwananchi kuelekea msimu ujao litakuwa la aina yake na pengine litakuwa Tamasha la kwanza ambalo Yanga wanaweza kumaliza tiketi mapema kuliko wakati mwingine wowote

Baada ya mafanikio ya timu hiyo katika misimu mitatu mfululizo pamoja na aina ya usajili ambao Yanga wameufanya Wananchi wako tayari kwa Tamasha hili na linakwenda kuvunja rekodi

Meneja wa habari na mawasiliano klabu ya Yanga Ali Kamwe amesema kuanzia Julai 01 wataanza kutangaza taarifa za maboresho ya kikosi na pale watakapokamilisha zoezi hilo mipango ya kuelekea Wiki ya Mwananchi itawekwa wazi

Aidha Yanga itaondoka nchini mwanzoni mwa Julai kwenda kuweka kambi nje ya nchi na pale watakaporejea ni katika Tamasha la Wiki ya Mwananchi

Baada ya kukosekana kwa misimu miwili ya Wiki ya Mwananchi kutokana na kifungo, Haji Manara 'Buggati' amemaliza kifungo chake na atakuwepo katika tamasha hilo

Manara ametamba kuwa tayari ameanza kufanya mazoezi kwaajili ya utambulisho wa wachezaji wapya 

Aidha kuna taarifa kuwa mabosi wa Yanga huenda wakaialika klabu ya Mamelodi Sundowns katika Tamasha hilo 

Yanga bado haijamalizana na Sundowns kutokana na kile kilichotokea katika ligi ya mabingwa msimu uliopita 








KAMA UNATUMIA MTANDAO WA TIGO!!! HII NIKWAAJILI YAKO!!!

Nenda kwenye Google play store

Download app ya Tigo pesa then jisajili kisha Nenda sehem ilioandikwa *Invite& Earn* Gusa pale then gusa neno "REDEEM" au KOMBOA afu kwenye Code jaza "TBN6439Y" Tayali apo utapata Gb 1 na shiling 2000 Kutoka tigo

KUMBUKA KUJAZA HILI NENO HAPO CHINI
            πŸ‘‡πŸ‘‡

          TBN6439Y





Comments

Popular posts from this blog

Klabu ya Yanga SC imefanya uzinduzi wa jezi mpya watakazotumia kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika 2024/25 Unazipa Marks ngapi kati ya 10____?

YANGA SC NEWS UPDATE Klabu ya Yanga SC imefanya uzinduzi wa jezi mpya watakazotumia kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika 2024/25 Unazipa Marks ngapi kati ya 10____? Young Africans SC  𝐂𝐀𝐅𝐂𝐋 πŸπŸŽπŸπŸ’/πŸπŸ“ - π“π‡πˆπ‘πƒ πŠπˆπ“πŸ”° #TimuYaWananchi  #DaimaMbeleNyumaMwiko

TUZO ZA TFF KUTOLEWA LEO KATIKA UKUMBI WA SUPER DOME MASAKI

YANGA SC NEWS UPDATE ... 🚨 π—¨π—£π——π—”π—§π—˜π—¦ β„Ή️ Tuzo za (TFF) zitafanyika   1 Aug 2024 katika ukumbi wa Super Dome Masaki.  Zaidi ya watu 550 watahudhulia.  β„Ή️ Bodi ya ligi kuu Tanzania bara imesema kuwa, wamechelewa kutoa ratiba ya ligi kuu kwa sababu ya confirmation ya viwanja.  Bodi hiyo imeeleza kuwa, 24 | 25 wamepanga kutumia viwanja vichache ambayo ni bora ili kulinda hadhi ya ligi kuu Tanzania bara.

TAARIFA NJEMA KWA YANGA SC

YANGA SC NEWS UPDATE Hii inaweza kuwa habari njema kwa Yanga baada ya taarifa kutoka Algeria kubainisha kwamba mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika Kundi A dhidi ya MC Alger utachezwa palepale ulipopangwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) na si vinginevyo. . Awali MC Alger kupitia rais wa klabu hiyo, Mohamed Hakim walipeleka barua CAF kuomba kubadilisha uwanja wa mechi kutoka 5 July 1962 na wakitaka kuutumia Ali la Pointe, lakini ombi lao limekataliwa.  . Mechi hiyo imepangwa kuchezwa Jumamosi, wiki hii. Uwanja wa 5 July 1962 uliopo katika Mji wa Algiers ni karibu zaidi na Uwanja wa Ndege wa Houari Boumediene ambao Yanga itatua leo mchana ikitokea Dar es Salaam, hivyo haitawapa wakati mgumu wa kuanzisha safari nyingine kwenda Douera unapopatikana Uwanja wa Ali la Pointe.  . Hata hivyo, MC Alger waliangalia mbali zaidi kwani Uwanja wa Ali la Pointe ndiyo wanautumia zaidi kwa mechi za nyumbani za ligi, hivyo wameuzoea zaidi kulinganisha na 5 July 1962. Kitendo cha CAF kutokuba...