Skip to main content

Baada ya aliyekuwa mshambuliaji wa @azamfcofficial Prince Dube kupewa majibu ya barua yake ya

YANGA SC NEWS UPDATE


Baada ya aliyekuwa mshambuliaji wa @azamfcofficial Prince Dube kupewa majibu ya barua yake ya kuomba kuondoka kikosini humo, hatimaye Azam FC wameridhia na sasa Dube ni mchezaji huru. 

Taarifa kwa Umma waliyoitoa Azam FC inasema kuwa β€œ Tunapenda kuutarifu umma kwamba tumeridhia maombi ya Prince @mgadafiprince.73 kuvunja mkataba wake nasi, aliyoyatoa Machi 2024.

β€œ Hatua hii inafuatia kitendo cha mchezaji huyo kutimiza
matakwa ya kimkataba kama ilivyoainishwa kwenye
vipengele vinavyoruhusu upande mmoja kuvunja mkataba.

Tunamtakia kila la kheri katika safari yake ya soka na maisha
kwa ujumla.

Hii ni taarifa nzuri kwa @yangasc wanaotajwa kuwa katika sehemu nzuri ya kumsajili nyota huyo wa Zimbabwe



Sisi ndo yanga usiache kufuatilia tovuti yetu ya yanga sc news kupitiaπŸ‘‡πŸ‘‡

Ili uweze kupata habari zetu za yanga SC kila siku!!




Comments

Popular posts from this blog

Klabu ya Yanga SC imefanya uzinduzi wa jezi mpya watakazotumia kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika 2024/25 Unazipa Marks ngapi kati ya 10____?

YANGA SC NEWS UPDATE Klabu ya Yanga SC imefanya uzinduzi wa jezi mpya watakazotumia kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika 2024/25 Unazipa Marks ngapi kati ya 10____? Young Africans SC  𝐂𝐀𝐅𝐂𝐋 πŸπŸŽπŸπŸ’/πŸπŸ“ - π“π‡πˆπ‘πƒ πŠπˆπ“πŸ”° #TimuYaWananchi  #DaimaMbeleNyumaMwiko

TUZO ZA TFF KUTOLEWA LEO KATIKA UKUMBI WA SUPER DOME MASAKI

YANGA SC NEWS UPDATE ... 🚨 π—¨π—£π——π—”π—§π—˜π—¦ ℹ️ Tuzo za (TFF) zitafanyika   1 Aug 2024 katika ukumbi wa Super Dome Masaki.  Zaidi ya watu 550 watahudhulia.  ℹ️ Bodi ya ligi kuu Tanzania bara imesema kuwa, wamechelewa kutoa ratiba ya ligi kuu kwa sababu ya confirmation ya viwanja.  Bodi hiyo imeeleza kuwa, 24 | 25 wamepanga kutumia viwanja vichache ambayo ni bora ili kulinda hadhi ya ligi kuu Tanzania bara.

TAARIFA NJEMA KWA YANGA SC

YANGA SC NEWS UPDATE Hii inaweza kuwa habari njema kwa Yanga baada ya taarifa kutoka Algeria kubainisha kwamba mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika Kundi A dhidi ya MC Alger utachezwa palepale ulipopangwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) na si vinginevyo. . Awali MC Alger kupitia rais wa klabu hiyo, Mohamed Hakim walipeleka barua CAF kuomba kubadilisha uwanja wa mechi kutoka 5 July 1962 na wakitaka kuutumia Ali la Pointe, lakini ombi lao limekataliwa.  . Mechi hiyo imepangwa kuchezwa Jumamosi, wiki hii. Uwanja wa 5 July 1962 uliopo katika Mji wa Algiers ni karibu zaidi na Uwanja wa Ndege wa Houari Boumediene ambao Yanga itatua leo mchana ikitokea Dar es Salaam, hivyo haitawapa wakati mgumu wa kuanzisha safari nyingine kwenda Douera unapopatikana Uwanja wa Ali la Pointe.  . Hata hivyo, MC Alger waliangalia mbali zaidi kwani Uwanja wa Ali la Pointe ndiyo wanautumia zaidi kwa mechi za nyumbani za ligi, hivyo wameuzoea zaidi kulinganisha na 5 July 1962. Kitendo cha CAF kutokuba...