Skip to main content

(FIFA), (CAF) na mashirikisho mengine yote yana mitandao ya kijamii, lakini hayajawahi kuposti wadaiwa au maamuzi dhidi ya wadaiwa wao, hizi huwa

YANGA SC NEWS UPDATE


ANAANDIKA MWANASHERIA WA KLABU YA YANGA SC

"(FIFA), (CAF) na mashirikisho mengine yote yana mitandao ya kijamii, lakini hayajawahi kuposti wadaiwa au maamuzi dhidi ya wadaiwa wao, hizi huwa internal communication (mawasiliano ya ndani).

Suala la kudaiwa na wachezaji ni suala la kawaida kwenye soka





Mpaka leo hii vilabu vikubwa kama TP Mazembe, Raja Club Athletic, Wydad, Zamalek, Belouzdad, Club Africain zote bado zimefungiwa ila FIFA, CAF wala Mashirikisho yao hawajawapost kwenye mitandao ya kijamii, unajua kwanini?

Kama ni habari za kupost zipo nyingi na zenye manufaa kwa jamii yetu, mfano Rais Karia jana alikua Tabora kwenye majukumu ya kulipambania soka la Tanzania ametoa habari njema kwa wana Tabora, nilitarajia kuiona."

Na nyie ndugu zangu wananchi, kama hizi taarifa zinawakwaza, dawa ni moja tu, kulipa ada, kwani dawa ya deni ni kulipa hakuna miujiza mingine, katika kujenga Yanga muitakayo wachezaji watakuja na kuondoka na hakuna mfadhili atakuja kulipa madeni, tuisapoti Transformation kwa vitendo.

Haya ni maoni yangu binafsi kama shabiki wa mpira!


NB : Nawakumbusha tu, Sheria ya ulinzi wa taarifa binafsi za watu na taasisi imeshaanza kufanya kazi, isomeni mtanishukuru badae." - Simon Patrick, Mwanasheria wa klabu Yanga SC.




Comments

Popular posts from this blog

Klabu ya Yanga SC imefanya uzinduzi wa jezi mpya watakazotumia kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika 2024/25 Unazipa Marks ngapi kati ya 10____?

YANGA SC NEWS UPDATE Klabu ya Yanga SC imefanya uzinduzi wa jezi mpya watakazotumia kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika 2024/25 Unazipa Marks ngapi kati ya 10____? Young Africans SC  𝐂𝐀𝐅𝐂𝐋 πŸπŸŽπŸπŸ’/πŸπŸ“ - π“π‡πˆπ‘πƒ πŠπˆπ“πŸ”° #TimuYaWananchi  #DaimaMbeleNyumaMwiko

TUZO ZA TFF KUTOLEWA LEO KATIKA UKUMBI WA SUPER DOME MASAKI

YANGA SC NEWS UPDATE ... 🚨 π—¨π—£π——π—”π—§π—˜π—¦ β„Ή️ Tuzo za (TFF) zitafanyika   1 Aug 2024 katika ukumbi wa Super Dome Masaki.  Zaidi ya watu 550 watahudhulia.  β„Ή️ Bodi ya ligi kuu Tanzania bara imesema kuwa, wamechelewa kutoa ratiba ya ligi kuu kwa sababu ya confirmation ya viwanja.  Bodi hiyo imeeleza kuwa, 24 | 25 wamepanga kutumia viwanja vichache ambayo ni bora ili kulinda hadhi ya ligi kuu Tanzania bara.

TAARIFA NJEMA KWA YANGA SC

YANGA SC NEWS UPDATE Hii inaweza kuwa habari njema kwa Yanga baada ya taarifa kutoka Algeria kubainisha kwamba mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika Kundi A dhidi ya MC Alger utachezwa palepale ulipopangwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) na si vinginevyo. . Awali MC Alger kupitia rais wa klabu hiyo, Mohamed Hakim walipeleka barua CAF kuomba kubadilisha uwanja wa mechi kutoka 5 July 1962 na wakitaka kuutumia Ali la Pointe, lakini ombi lao limekataliwa.  . Mechi hiyo imepangwa kuchezwa Jumamosi, wiki hii. Uwanja wa 5 July 1962 uliopo katika Mji wa Algiers ni karibu zaidi na Uwanja wa Ndege wa Houari Boumediene ambao Yanga itatua leo mchana ikitokea Dar es Salaam, hivyo haitawapa wakati mgumu wa kuanzisha safari nyingine kwenda Douera unapopatikana Uwanja wa Ali la Pointe.  . Hata hivyo, MC Alger waliangalia mbali zaidi kwani Uwanja wa Ali la Pointe ndiyo wanautumia zaidi kwa mechi za nyumbani za ligi, hivyo wameuzoea zaidi kulinganisha na 5 July 1962. Kitendo cha CAF kutokuba...