Skip to main content

(FIFA), (CAF) na mashirikisho mengine yote yana mitandao ya kijamii, lakini hayajawahi kuposti wadaiwa au maamuzi dhidi ya wadaiwa wao, hizi huwa

YANGA SC NEWS UPDATE


ANAANDIKA MWANASHERIA WA KLABU YA YANGA SC

"(FIFA), (CAF) na mashirikisho mengine yote yana mitandao ya kijamii, lakini hayajawahi kuposti wadaiwa au maamuzi dhidi ya wadaiwa wao, hizi huwa internal communication (mawasiliano ya ndani).

Suala la kudaiwa na wachezaji ni suala la kawaida kwenye soka





Mpaka leo hii vilabu vikubwa kama TP Mazembe, Raja Club Athletic, Wydad, Zamalek, Belouzdad, Club Africain zote bado zimefungiwa ila FIFA, CAF wala Mashirikisho yao hawajawapost kwenye mitandao ya kijamii, unajua kwanini?

Kama ni habari za kupost zipo nyingi na zenye manufaa kwa jamii yetu, mfano Rais Karia jana alikua Tabora kwenye majukumu ya kulipambania soka la Tanzania ametoa habari njema kwa wana Tabora, nilitarajia kuiona."

Na nyie ndugu zangu wananchi, kama hizi taarifa zinawakwaza, dawa ni moja tu, kulipa ada, kwani dawa ya deni ni kulipa hakuna miujiza mingine, katika kujenga Yanga muitakayo wachezaji watakuja na kuondoka na hakuna mfadhili atakuja kulipa madeni, tuisapoti Transformation kwa vitendo.

Haya ni maoni yangu binafsi kama shabiki wa mpira!


NB : Nawakumbusha tu, Sheria ya ulinzi wa taarifa binafsi za watu na taasisi imeshaanza kufanya kazi, isomeni mtanishukuru badae." - Simon Patrick, Mwanasheria wa klabu Yanga SC.




Comments

Popular posts from this blog

Klabu ya Yanga SC imefanya uzinduzi wa jezi mpya watakazotumia kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika 2024/25 Unazipa Marks ngapi kati ya 10____?

YANGA SC NEWS UPDATE Klabu ya Yanga SC imefanya uzinduzi wa jezi mpya watakazotumia kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika 2024/25 Unazipa Marks ngapi kati ya 10____? Young Africans SC  𝐂𝐀𝐅𝐂𝐋 𝟐𝟎𝟐𝟒/𝟐𝟓 - 𝐓𝐇𝐈𝐑𝐃 𝐊𝐈𝐓🔰 #TimuYaWananchi  #DaimaMbeleNyumaMwiko

TAARIFA NJEMA KWA YANGA SC

YANGA SC NEWS UPDATE Hii inaweza kuwa habari njema kwa Yanga baada ya taarifa kutoka Algeria kubainisha kwamba mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika Kundi A dhidi ya MC Alger utachezwa palepale ulipopangwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) na si vinginevyo. . Awali MC Alger kupitia rais wa klabu hiyo, Mohamed Hakim walipeleka barua CAF kuomba kubadilisha uwanja wa mechi kutoka 5 July 1962 na wakitaka kuutumia Ali la Pointe, lakini ombi lao limekataliwa.  . Mechi hiyo imepangwa kuchezwa Jumamosi, wiki hii. Uwanja wa 5 July 1962 uliopo katika Mji wa Algiers ni karibu zaidi na Uwanja wa Ndege wa Houari Boumediene ambao Yanga itatua leo mchana ikitokea Dar es Salaam, hivyo haitawapa wakati mgumu wa kuanzisha safari nyingine kwenda Douera unapopatikana Uwanja wa Ali la Pointe.  . Hata hivyo, MC Alger waliangalia mbali zaidi kwani Uwanja wa Ali la Pointe ndiyo wanautumia zaidi kwa mechi za nyumbani za ligi, hivyo wameuzoea zaidi kulinganisha na 5 July 1962. Kitendo cha CAF kutokuba...

WALE WALIOKUA NA SHAUKU YA KUJUA UPI NI UZI MKALI ZAIDI KATI YA JEZI ZOTE ZA YANGA NA SIMBA (KIMATAIFA).

YANGA SC NEWS UPDATE WALE WALIOKUA NA SHAUKU YA KUJUA UPI NI UZI MKALI ZAIDI KATI YA JEZI ZOTE ZA YANGA NA SIMBA (KIMATAIFA). :: Weka kura yako kwenye comment Je, ni Uzi upi umeukubali zaidi? 𝘛𝘢𝘻𝘢𝘮𝘢 𝘮𝘦𝘤𝘩𝘪 𝘻𝘰𝘵𝘦 𝘻𝘢 𝘕𝘉𝘊 𝘗𝘳𝘦𝘮𝘪𝘦𝘳 𝘓𝘦𝘢𝘨𝘶𝘦, 𝘊𝘈𝘍, 𝘊𝘙𝘋𝘉 𝘍𝘈 𝘊𝘜𝘗, 𝘌𝘗𝘓, 𝘜𝘌𝘍𝘈, 𝘓𝘐𝘝𝘌 𝘬𝘸𝘦𝘯𝘺𝘦 𝘴𝘪𝘮𝘶 𝘺𝘢𝘬𝘰, 𝘋𝘰𝘸𝘯𝘭𝘰𝘢𝘥 𝘈𝘱𝘱 𝘉𝘰𝘯𝘺𝘦𝘻𝘢 👉🏾 http://bit.ly/zetuflix