Skip to main content

HII APA ORODHA YA SAIN ZILIZO NASWA NA YANGA SC

YANGA SC NEWS UPDATE




Klabu ya Young Africans Sports Club inatajwa kukamilisha usajili wa Nyota wawili wenye kiwango Cha juu Clatous Chama na Prince Dube ambao tayari wamefanya MAKUBWA ndani ya Ligi Kuu ya NBC.

Bila Shaka YANGA itakuwa na Safu hatari zaidi ya Ushambuliaji kama wachezaji Hawa wataelewana Mapema wakiungana na wenzao .

Pata Picha Uwepo wa Clatous Chama, Stephen Azizi Ki, Pacome ZouZoua na Prince Dube wakiwa ndani ya timu Moja ???





 👉 Pacome ana uwezo mkubwa wa kutengeneza mabao na kufunga pia ....Huku akiwa na faida ya kusaka Mpira ukipotea .

👉 Azizi KI ana ubora mkubwa sana akicheza huru Kwa sababu ana uwezo wa kutengeneza mabao na kufunga...Pia ana enjoy kucheza na na Mshambuliaji mjanja anayejua kukaa katika maeneo sahihi.

👉 Clatous Chama Huyu ni Master haswaaa Brain 🧠 Kubwa ya Mpira Kwa sababu una mtii awapo Dimbani anafanya kile Atakacho Huyu ni mbabe wa kutengeneza mabao Kamwe hajawahi kuwa mchoyo Dimbani.

👉 Prince Dube huyu ni Killer Striker (Fanya kosa ndani ya box ana kuua ) ...Complete Striker (Striker ALIYE kamilika) ....Fox in The Box (Mbwa Mwitu ndani ya box )....Pia ana uwezo mkubwa wa kucheza kitimu yaani kushirikiana vema na wenzake siyo MTU wa kusimama (Mviziaji) .

Nyota Hawa wataifanya YANGA kuwa hatari sana kama watafiti vema Kwenye mfumo wa Yanga ..

😂 NB Mwituni watahama mji ndugu zangu wataelekea Jangwani 🏃.

   📸 Usajili Wetu 

        





KAMA UNATUMIA MTANDAO WA TIGO!!! HII NIKWAAJILI YAKO!!!

Nenda kwenye Google play store

Download app ya Tigo pesa then jisajili kisha Nenda sehem ilioandikwa *Invite& Earn* Gusa pale then gusa neno "REDEEM" au KOMBOA afu kwenye Code jaza "TBN6439Y" Tayali apo utapata Gb 1 na shiling 2000 Kutoka tigo

KUMBUKA KUJAZA HILI NENO HAPO CHINI
            👇👇

          TBN6439Y




Comments

Popular posts from this blog

TETESI: Klabu ya Yanga SC imepanga kuachana na Nyota wake 6 ambao ni Mghana Agustine Okrah, kiungo Mahlatse Skudu Makudubela

YANGA SC NEWS UPDATE #TETESI: Klabu ya Yanga SC imepanga kuachana na Nyota wake 6 ambao ni Mghana Agustine Okrah, kiungo Mahlatse Skudu Makudubela kutoka Afrika Kusini, Mkongo Joyce Lomalisa, Zawadi Mauya, Metacha Mnata na Joseph Guede kutoka nchini Ivory Coast. Taarifa za ndani zinasema tayari wa Uongozi wa Yanga SC wamemaliza kuwaongezea mikataba nyota wote watakaosalia kikosini hapo kwa msimu 2024-25 lakini majina va wachezaji hao sio sehemu ya wachezaji waliongezewa mikataba kuelekea msimu ujao wa Mashindano ndani ya Yanga SC. Yupi alistahili kubaki ndani ya Yanga msimu ujao hapo??

Kiungo wa Yanga Sc, Stephanie Aziz Ki amekata mzizi wa fitina juu ya mustakabali wake kufuatia taharuki

Sports and Games Kiungo wa Yanga Sc, Stephanie Aziz Ki amekata mzizi wa fitina juu ya mustakabali wake kufuatia taharuki iliyozuka miongoni mwa wapenzi wa soka baada ya posti yake aliyochapisha kwenye mitandao ya kijamii kuzua sintofahamu. Awali kiungo huyo raia wa Burkina Faso alichapisha taarifa ya kuushukuru uongozi wa klabu hiyo, mashabiki pamoja za wachezaji wenzie kwa mafanikio waliyoyapata katika msimu uliomalizika hali iliyopelekea wengi kudhani anaaga Yanga. Hata hivyo Aziz Ki amejibu 'comment' ya mdau iliyosema “Ashiiii Azizi sasa kwenye post yako usianze na maneno 'thanks' unatufanye tuhofie kuwa unataka kuondoka” Akijibu 'comment' hiyo Ki ameandika “Nawashukuru kwa sababu ni jambo dogo sana ninaloweza kufanya kuwashukuru nyinyi ambao mnanisaidia kila siku, SIO KWAHERI NIKO HAPA MSIJALI” Posti iliyozua sintofahamu ilisomeka "Kila kitu kiliwezekana Shukrani kwenu wachezaji wenzangu, wafanyakazi, kamati ya rais na hasa nyinyi mashabiki, wapendwa wa...

BREAKING NEWS YANGA SC YAONDOLEWA ADHABU NA FIFA

Sports and Games Taarifa kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) @taifastars_ @caf_online @yangasc By Maximilian Damian reporter Follow us on Facebook