Klabu ya Young Africans Sc imeibuka bingwa wa kombe la #Safari Cup baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Safari Champions katika dimba la Benjamin Mkapa.
YANGA SC NEWS UPDATE
Klabu ya Young Africans Sc imeibuka bingwa wa kombe la #Safari Cup baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Safari Champions katika dimba la Benjamin Mkapa.
FT: Safari Champions 1οΈβ£β4οΈβ£ Yanga SC
β½οΈ Omary Mfaume
β½οΈ Shekhan
β½οΈ Prosper
β½ Hussein
Safari Champions ni kikosi ambacho kilipatikana kupitia programu maalum iliyoendeshwa na TBL ambayo ilitafuta vijana wenye vipaji kutoka mikoa mbali mbali na kufanikiwa kuunda timu yenye wachezaji 25.
Sisi ndo yanga usiache kufuatilia tovuti yetu ya yanga sc news kupitiaππ
Ili uweze kupata habari zetu za yanga SC kila siku!!
Comments