Skip to main content

CHAMA RASMI ATAMBULISHWA YANGA KATIKA ASUBUHI YA LEO

YANGA SC NEWS UPDATE



๐Œ๐–๐€๐Œ๐๐€ Clatous Chama ni ๐Œ๐–๐€๐๐€๐๐‚๐‡๐ˆ๐Ÿ”ฐ Karibu sana Jangwani๐Ÿ‘Š๐Ÿฝ

๐๐˜๐ˆ๐„ ๐‡๐€๐Œ๐”๐Ž๐†๐Ž๐๐ˆ?


Rasmi Mchezaji wa zamani wa Simba SC Clatous Chota Chama ametambulishwa na yanga sc akitokea upanda wa pili wa waasimu wetu Taarifa zinaeleza kuwa chama amepewa miaka miwili uku mkataba wake ukiwa na Sehemu ya marekebisho  ya kumuongezea mkataba mwingine endapo ataparform vizuri 

Chama amesajiriwa kwa kiasi cha Dollar 300,000 laki tatu ambazo ni sawa na million 700 na point za kitanzania uku ikielezwa yakuwa atalipwa takribani TZS 35 million kwa mwezi 


Welcome Chama welcome to youg Africans Sports club


Mwana yanga popote ulipo sema Tabu iko palepale!!!!!


Sisi ndo yanga usiache kufuatilia tovuti yetu ya yanga sc news kupitia๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

Ili uweze kupata habari zetu za yanga SC kila siku!!

Comments

Popular posts from this blog

Klabu ya Yanga SC imefanya uzinduzi wa jezi mpya watakazotumia kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika 2024/25 Unazipa Marks ngapi kati ya 10____?

YANGA SC NEWS UPDATE Klabu ya Yanga SC imefanya uzinduzi wa jezi mpya watakazotumia kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika 2024/25 Unazipa Marks ngapi kati ya 10____? Young Africans SC  ๐‚๐€๐…๐‚๐‹ ๐Ÿ๐ŸŽ๐Ÿ๐Ÿ’/๐Ÿ๐Ÿ“ - ๐“๐‡๐ˆ๐‘๐ƒ ๐Š๐ˆ๐“๐Ÿ”ฐ #TimuYaWananchi  #DaimaMbeleNyumaMwiko

TAARIFA NJEMA KWA YANGA SC

YANGA SC NEWS UPDATE Hii inaweza kuwa habari njema kwa Yanga baada ya taarifa kutoka Algeria kubainisha kwamba mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika Kundi A dhidi ya MC Alger utachezwa palepale ulipopangwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) na si vinginevyo. . Awali MC Alger kupitia rais wa klabu hiyo, Mohamed Hakim walipeleka barua CAF kuomba kubadilisha uwanja wa mechi kutoka 5 July 1962 na wakitaka kuutumia Ali la Pointe, lakini ombi lao limekataliwa.  . Mechi hiyo imepangwa kuchezwa Jumamosi, wiki hii. Uwanja wa 5 July 1962 uliopo katika Mji wa Algiers ni karibu zaidi na Uwanja wa Ndege wa Houari Boumediene ambao Yanga itatua leo mchana ikitokea Dar es Salaam, hivyo haitawapa wakati mgumu wa kuanzisha safari nyingine kwenda Douera unapopatikana Uwanja wa Ali la Pointe.  . Hata hivyo, MC Alger waliangalia mbali zaidi kwani Uwanja wa Ali la Pointe ndiyo wanautumia zaidi kwa mechi za nyumbani za ligi, hivyo wameuzoea zaidi kulinganisha na 5 July 1962. Kitendo cha CAF kutokuba...

WALE WALIOKUA NA SHAUKU YA KUJUA UPI NI UZI MKALI ZAIDI KATI YA JEZI ZOTE ZA YANGA NA SIMBA (KIMATAIFA).

YANGA SC NEWS UPDATE WALE WALIOKUA NA SHAUKU YA KUJUA UPI NI UZI MKALI ZAIDI KATI YA JEZI ZOTE ZA YANGA NA SIMBA (KIMATAIFA). :: Weka kura yako kwenye comment Je, ni Uzi upi umeukubali zaidi? ๐˜›๐˜ข๐˜ป๐˜ข๐˜ฎ๐˜ข ๐˜ฎ๐˜ฆ๐˜ค๐˜ฉ๐˜ช ๐˜ป๐˜ฐ๐˜ต๐˜ฆ ๐˜ป๐˜ข ๐˜•๐˜‰๐˜Š ๐˜—๐˜ณ๐˜ฆ๐˜ฎ๐˜ช๐˜ฆ๐˜ณ ๐˜“๐˜ฆ๐˜ข๐˜จ๐˜ถ๐˜ฆ, ๐˜Š๐˜ˆ๐˜, ๐˜Š๐˜™๐˜‹๐˜‰ ๐˜๐˜ˆ ๐˜Š๐˜œ๐˜—, ๐˜Œ๐˜—๐˜“, ๐˜œ๐˜Œ๐˜๐˜ˆ, ๐˜“๐˜๐˜๐˜Œ ๐˜ฌ๐˜ธ๐˜ฆ๐˜ฏ๐˜บ๐˜ฆ ๐˜ด๐˜ช๐˜ฎ๐˜ถ ๐˜บ๐˜ข๐˜ฌ๐˜ฐ, ๐˜‹๐˜ฐ๐˜ธ๐˜ฏ๐˜ญ๐˜ฐ๐˜ข๐˜ฅ ๐˜ˆ๐˜ฑ๐˜ฑ ๐˜‰๐˜ฐ๐˜ฏ๐˜บ๐˜ฆ๐˜ป๐˜ข ๐Ÿ‘‰๐Ÿพ http://bit.ly/zetuflix