Skip to main content

UMAFIA WA ENG HERIS KATIKA USAJIRI MSIMU HUU

YANGA SC NEWS UPDATE



... ⚙️ 𝗘𝗡𝗚𝗜𝗡𝗘𝗘𝗥 𝗡𝗜 𝗠𝗔𝗙𝗜𝗔

◉ Alimchukua Kennedy Musonda mbele ya Giant kama TP Mazembe 🇨🇩

◉ Alimchukua Stephane Aziz Ki 🇧🇫 mbele ya timu kama FAR Rabat, USM Alger, Kaizer chiefs, Simba SC na timu zingine nyingi.

◉ Alimchukua Pacome mbele ya Al-Hilal 🇸🇩, Al-Ittihad 🇱🇾, ASEC Mimosas 🇨🇮.

◉ Alimchukua Yao Kouassi dhidi klabu kama SEC Mimosas 🇨🇮, Orlando Pirates 🇿🇦, CR Belouizdad 🇩🇿 na zingine zilizomtaka.

◉ Amemsajili Prince Dube dhidi ya matajiri kama Yusuph Bakhresa.

◉ Amemchukua Chama dhidi ya Mo Dewji.

Hii picha ilipigwa tangu Mei baada ya Engineer kukamilisha usajili wa Clatous Chama.. Watu wanashituka kutaka kumuongeza mkataba kumbe Engineer kiitambo alishafanya yake.

📸 Pichani ni Chikoye Paricha owner of Pro Elite management ambaye ni agent wa Chama na wachezaji wengine wengi Afrika.

Note : Engineer Hersi Said huwa anawaambia nini wachezaji hadi wanakubali kujiunga na Young Africans SC licha ya kuahidiwa donge nono na timu zingine ?!

Nilichogundua Engineer ana kipawa chla nguvu ya ushawishi + Vibunda vya (GSM).

ℹ️ Sajili zote hatumi mtu, anaenda yeye mwenyewe front line 🙌


Comments

Popular posts from this blog

Klabu ya Yanga SC imefanya uzinduzi wa jezi mpya watakazotumia kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika 2024/25 Unazipa Marks ngapi kati ya 10____?

YANGA SC NEWS UPDATE Klabu ya Yanga SC imefanya uzinduzi wa jezi mpya watakazotumia kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika 2024/25 Unazipa Marks ngapi kati ya 10____? Young Africans SC  𝐂𝐀𝐅𝐂𝐋 𝟐𝟎𝟐𝟒/𝟐𝟓 - 𝐓𝐇𝐈𝐑𝐃 𝐊𝐈𝐓🔰 #TimuYaWananchi  #DaimaMbeleNyumaMwiko

TUZO ZA TFF KUTOLEWA LEO KATIKA UKUMBI WA SUPER DOME MASAKI

YANGA SC NEWS UPDATE ... 🚨 𝗨𝗣𝗗𝗔𝗧𝗘𝗦 ℹ️ Tuzo za (TFF) zitafanyika   1 Aug 2024 katika ukumbi wa Super Dome Masaki.  Zaidi ya watu 550 watahudhulia.  ℹ️ Bodi ya ligi kuu Tanzania bara imesema kuwa, wamechelewa kutoa ratiba ya ligi kuu kwa sababu ya confirmation ya viwanja.  Bodi hiyo imeeleza kuwa, 24 | 25 wamepanga kutumia viwanja vichache ambayo ni bora ili kulinda hadhi ya ligi kuu Tanzania bara.

TAARIFA NJEMA KWA YANGA SC

YANGA SC NEWS UPDATE Hii inaweza kuwa habari njema kwa Yanga baada ya taarifa kutoka Algeria kubainisha kwamba mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika Kundi A dhidi ya MC Alger utachezwa palepale ulipopangwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) na si vinginevyo. . Awali MC Alger kupitia rais wa klabu hiyo, Mohamed Hakim walipeleka barua CAF kuomba kubadilisha uwanja wa mechi kutoka 5 July 1962 na wakitaka kuutumia Ali la Pointe, lakini ombi lao limekataliwa.  . Mechi hiyo imepangwa kuchezwa Jumamosi, wiki hii. Uwanja wa 5 July 1962 uliopo katika Mji wa Algiers ni karibu zaidi na Uwanja wa Ndege wa Houari Boumediene ambao Yanga itatua leo mchana ikitokea Dar es Salaam, hivyo haitawapa wakati mgumu wa kuanzisha safari nyingine kwenda Douera unapopatikana Uwanja wa Ali la Pointe.  . Hata hivyo, MC Alger waliangalia mbali zaidi kwani Uwanja wa Ali la Pointe ndiyo wanautumia zaidi kwa mechi za nyumbani za ligi, hivyo wameuzoea zaidi kulinganisha na 5 July 1962. Kitendo cha CAF kutokuba...